0
unnamed
Basi la Super Feo linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Songea likiwa limetumbukia mtoni Leo asubuhi. 

Basi hilo  lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Songea kabla ya kutumbukia mtoni baada ya kujaribu kulipita gari lingine na kukutana na lori mbele yake kisha likatumbukia mtoni karibu na eneo la Pipeline Inyara.

wakati dereva wa basi hilo akijaribu kukwepa lori hilo.Bado haijafahamika ni abiria wangapi wamepoteza maisha ama kujeruhiwa Taarifa zaidi zitafuata kadri tutakavyozipata kutoka kwa mamlaka husika. (KILONGE)

Chapisha Maoni

 
Top