Maandalizi
ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wananchi katika daftari la
wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29,
2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza
kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri
Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA SADC WATEMBELEA TMA KUKAGUA NA KUKABIDHI VIFAA VYA
HALI YA HEWA
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka
Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jum...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni