Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye
akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma na
kuwaambia kuwa Mkutano Mkuu wa CCM utafanyika leo saa tatu usiku na
zoezi linaloendelea sasa ni upigaji kura za kupata majina matatu
yatakayopelekwa kwenye mkutano mkuu ili kupatikana moja la mgombea wa
Urais kwa kupitia CCM.
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA SADC WATEMBELEA TMA KUKAGUA NA KUKABIDHI VIFAA VYA
HALI YA HEWA
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka
Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jum...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni