Rais wa zimbabwe Robert Gabrhel mugabe pichani
kwa mala nyingine amekazia kiapo chake cha kuwanyonga wale wote watakaojihusisha na mapenz ya jinsia moja
@
akizungumza ktk mkutano mkubwa wa hadhara hiv karbuni kiongoz huyo
ambaye pia ni mwenyekt wa zamu wa wakuu wa nchi wanacha wa umoja wa
Afrika na SADC amesema Taifa lake kamwe halitakubal ushoga upige hod
nchn humo na anachukia mno uchafu huo
.
Anasema ukiwachukua mashoga ukiwafungia chumban kwa miaka mitano halafu hawakuzalisha mtoto basi bora uwaue
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA SADC WATEMBELEA TMA KUKAGUA NA KUKABIDHI VIFAA VYA
HALI YA HEWA
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka
Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jum...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni