


Japani
walikuwa wakwanza kupata goli la kwanza dakika ya 33 kupitia kwa nahodha
wao Aya Miyama baada ya Claire Rafferty kumfanyia madhambi Saori
Ariyoshi nje kidogo ya eneo la hatari lakini mwamuzi akaamuru ipigwe
penati na Miyami akaukwamisha mpira kambani.

Goli la
kujifunga la Laura Bassett dakika za majeruhi liliwapa ushindi Japan na
kuwapeleka kwenye hatua ya fainali ambako watakutana na timu ya taifa ya
Marekani.
Chapisha Maoni