Akizungumza katika uzinduzi huo mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
amesema moja kati ya mambo ya msingi ambayo kwa sasa yanatakiwa
kufanyika ni tume ya taifa ya uchaguzi kuhakikisha zoezi la uandikishaji
wapiga kura linafanyika kikamilifu la sivyo watabeba mzigo wa lawama.
TUTUBA: THAMANI YA FEDHA KUBAKI IMARA KUELEKEA KIPINDI CHA MAVUNO
-
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema thamani ya
fedha itaendelea kuwa imara kuelekea kipindi cha mavuno ili kuwawezesha
wakulima...
Dakika 24 zilizopita
Chapisha Maoni