Akizungumza katika uzinduzi huo mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
amesema moja kati ya mambo ya msingi ambayo kwa sasa yanatakiwa
kufanyika ni tume ya taifa ya uchaguzi kuhakikisha zoezi la uandikishaji
wapiga kura linafanyika kikamilifu la sivyo watabeba mzigo wa lawama.
Mfumo Mpya wa Leseni za Madini Kuimarisha Uwazi na Uwekezaji
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Arusha, 1 Oktoba 2025: Tume ya Madini imeboresha mfumo wa utoaji na
usimamizi wa leseni za madini ili kurahisisha upatikanaji wa ...
Dakika 55 zilizopita
Chapisha Maoni