Akizungumza katika uzinduzi huo mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
amesema moja kati ya mambo ya msingi ambayo kwa sasa yanatakiwa
kufanyika ni tume ya taifa ya uchaguzi kuhakikisha zoezi la uandikishaji
wapiga kura linafanyika kikamilifu la sivyo watabeba mzigo wa lawama.
NMB yajivunia ushiriki, udhamini wa matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar
-
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
WAKATI Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ikiitunukia Cheti cha Shukrani
na Pongezi kwa kufadhili, kudhamini na kushiriki ...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni