Akizungumza katika uzinduzi huo mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
amesema moja kati ya mambo ya msingi ambayo kwa sasa yanatakiwa
kufanyika ni tume ya taifa ya uchaguzi kuhakikisha zoezi la uandikishaji
wapiga kura linafanyika kikamilifu la sivyo watabeba mzigo wa lawama.
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 7 zilizopita
Chapisha Maoni