Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib bilal na mwenyeji wake Makamu wa Rais wa china Li Yuanchao wakisimama kwa heshima wakati nyimbo za Taifa la Tanzania na kenya zikipigwa kwenye mapokezi yake katika ukumbi maalum wa watu wa china kwa ajili ya mazungumzo baada ya ziara yake Nchini China
TANZANIA YASISITIZA USHIRIKIANO WA UMOJA WA AFRIKA ILI KUPUNGUZA VIFO VYA
MAMA NA MTOTO
-
Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa
Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika
kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya m...
Saa 17 zilizopita


Chapisha Maoni