Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib bilal na mwenyeji wake Makamu wa Rais wa china Li Yuanchao wakisimama kwa heshima wakati nyimbo za Taifa la Tanzania na kenya zikipigwa kwenye mapokezi yake katika ukumbi maalum wa watu wa china kwa ajili ya mazungumzo baada ya ziara yake Nchini China
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 5 zilizopita


Chapisha Maoni