Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametangazwa kuwa mkufunzi bora katika ligi ya Uingereza kwa mara ya tatu. Akihudumia kipindi chake cha pili katika kilabu hiyo rais huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 52 aliiongoza Chelsea kubeba taji lao la kwanza la ligi ya Uingereza katika kipindi cha miaka mitano pamoja na kombe la Ligi.
Jose Mourinho.
Eden Hazard.
Hazard amechukua tuzo hiyo baada ya kuisaidia timu yake kutwaa taji la Ligi Kuu ya England huku akiifungia mabao 14.
Hazard
alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine saba ambao ni:
John Terry, Cesc Fabregas, Nemanja Matic, Sergio Aguero, David de Gea,
Harry Kane na Alexis Sanchez.
Chapisha Maoni