0


Kilabu ya QPR imemuajiri Chris Ramsey kama mkufunzi mkuu kwa muda wa miaka mitatu.

Ramsey mwenye umri wa miaka 53 amepewa kibali hicho  hadi mwisho wa mwezi Februari baada ya Harry Redknapp kujiuzulu ambapo alishindwa kuizuia kilabu hiyo kusalia katika ligi kuu ya Uingereza.

Mwenyekiti wa klabu ya QPR Tony Fernandes amesema ''Chris alipochukua ukufunzi wa timu hii tayari tulikuwa katika matatizo makubwa'', alisema mwenyekiti wa

Chapisha Maoni

 
Top