Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani
Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo
asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta
vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira
ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya
mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea
msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia
yake ya kukuza vipaji kwa vijana na kuahidi kufanya vyema katika ligi ya
Wilaya ya Dodoma mjini(picha na Freddy Maro)
DKT. MWIGULU AZUNGUMZA NA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA MVUA KILOSA.
-
*Autaja mradi wa ujenzi wa mabwawa ya kuhifadhi maji ya Mvua eneo la Kidete.
WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 amezungumza na wakaz...
Dakika 32 zilizopita
Chapisha Maoni