Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani
Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo
asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta
vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira
ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya
mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea
msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia
yake ya kukuza vipaji kwa vijana na kuahidi kufanya vyema katika ligi ya
Wilaya ya Dodoma mjini(picha na Freddy Maro)
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 5 zilizopita
Chapisha Maoni