Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani
Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo
asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta
vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira
ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya
mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea
msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia
yake ya kukuza vipaji kwa vijana na kuahidi kufanya vyema katika ligi ya
Wilaya ya Dodoma mjini(picha na Freddy Maro)
NACTVET yaagiza vyuo kufuata utaratibu
-
Na Mwandishi Wetu Dodoma
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET)
limesema kuwa liliratibu udahili wa wanafunzi kwa ngazi ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni