Kikwete ameelezea kufurahishwa na wingi wa wagombea waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, akisema ni jambo zuri na ni ushahidi wa kiasi cha uhuru ambao umejengeka katika chama hicho. Habari leo
SAMIA KINGS WAHAMASISHA MATUMIZI YA BIDHAA ZA NDANI SABASABA 2025
-
WASANII mahiri wa muziki wa Bongo Fleva, Chege Chigunda na Madee,
wanaofahamika kwa jina la kisanii Samia Kings, wamevutia umati wa mashabiki
na washiriki ...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni