Kikwete ameelezea kufurahishwa na wingi wa wagombea waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, akisema ni jambo zuri na ni ushahidi wa kiasi cha uhuru ambao umejengeka katika chama hicho. Habari leo
CMSA YAJIVUNIA KUWEKA ALAMA YA MAFANIKIO KATIKA MAENDELEO YA
MASOKO,YAZINDUA MAUZO STAWI BOND
-
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA.
Nicodemus Mkama amesema Tanzania imeweka alama kubwa ya mafanikio katika
maendel...
Dakika 57 zilizopita
Chapisha Maoni