Kikwete ameelezea kufurahishwa na wingi wa wagombea waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, akisema ni jambo zuri na ni ushahidi wa kiasi cha uhuru ambao umejengeka katika chama hicho. Habari leo
CCM: Uchaguzi wa Haki ndiyo Msingi wa Uongozi Bora
-
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa CCM, Idara ya Organizesheni,
Paul Chacha amesema uongozi wake utasimamia uchaguzi wa haki na usawa ndani
ya c...
Siku 1 iliyopita
Chapisha Maoni