Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt Binilith Mahenge akihojiwa
na waandishi wa habari katika viwanja vya Tangamano wakati wa maonyesho
ya wiki ya mazingira duniani inayofanyika jijini Tanga.
Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria
-
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya
Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na
watu ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni