Wanaharakati wa wanyamapori
wameelezea hali ya kutoweka kwa idadi ya ndovu kwa asilimia sitini
nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kama janga.
Waziri katika serikali ya Tanzania Lazaro Nyalandu, amesema kuwa tatizo hilo lipo kwa kiwango tofauti nchini humo, akitoa mfano kuwa eneo la Serengeti idadi yao inaongezeka .
Amesema mamia ya walinzi wa wanyamapori wamekodiwa kukabiliana na uwindaji haramu
Chapisha Maoni