Bunge la Ulaya lilipokea kwa moyo mkunjufu kujiuzulu kwa Sepp Blatter.
Baada ya kupokea kwa moyo mkunjufu, bunge la Ulaya limetowa wito kwa shirika la FIFA likilitaka kuchagua kwa haraka kiongozi atakae wakilisha na kuongoza shirika hilo.
Bunge la Ulaya lilipitisha mswada unaoomba tume ambayo inasimamia uchunguzi wa madai ya rushwa katika shirika la FIFA kufanya haraka ilikupatikane suluhu.
JUBILEE INSURANCE WAZINDUA OFİSİ YAO MPYA FAYKAT TOWER
-
Na Mwandishi Wetu
JUBILEE Insurance (Jubilee Life na Jubilee Health) leo Novemba 17,2025
wamezindua rasmi ofisi yao mpya iliyopo ghorofa ya tatu jengo l...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni