Bunge la Ulaya lilipokea kwa moyo mkunjufu kujiuzulu kwa Sepp Blatter.
Baada ya kupokea kwa moyo mkunjufu, bunge la Ulaya limetowa wito kwa shirika la FIFA likilitaka kuchagua kwa haraka kiongozi atakae wakilisha na kuongoza shirika hilo.
Bunge la Ulaya lilipitisha mswada unaoomba tume ambayo inasimamia uchunguzi wa madai ya rushwa katika shirika la FIFA kufanya haraka ilikupatikane suluhu.
TUTUBA: THAMANI YA FEDHA KUBAKI IMARA KUELEKEA KIPINDI CHA MAVUNO
-
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema thamani ya
fedha itaendelea kuwa imara kuelekea kipindi cha mavuno ili kuwawezesha
wakulima...
Dakika 24 zilizopita
Chapisha Maoni