Ali
Kiba baada ya kuteuliwa mwakilishi kwenye kampeni ya kuzuia vifo vya
tembo WildAid amekuwa akikutana na mabalozi wakiwemo wa Marekani na
msanii mkubwa wa filamu marekani Lupita Nyongo pamoja na familia
yake.Katika maongezi ameonekana mtulivu wa nje na ndani ya nafsi ishara
tosha anakimudu kingereza.Huku akipunguza matabasamu mengi wakati wa
maongezi kama timu pinzani.
NMB yajivunia ushiriki, udhamini wa matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar
-
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
WAKATI Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ikiitunukia Cheti cha Shukrani
na Pongezi kwa kufadhili, kudhamini na kushiriki ...
Saa 1 iliyopita



Chapisha Maoni