Ali
Kiba baada ya kuteuliwa mwakilishi kwenye kampeni ya kuzuia vifo vya
tembo WildAid amekuwa akikutana na mabalozi wakiwemo wa Marekani na
msanii mkubwa wa filamu marekani Lupita Nyongo pamoja na familia
yake.Katika maongezi ameonekana mtulivu wa nje na ndani ya nafsi ishara
tosha anakimudu kingereza.Huku akipunguza matabasamu mengi wakati wa
maongezi kama timu pinzani.
MRADI WA SERIKALI , BARRICK NORTH MARA WA UWEZESHAJI WACHIMBAJI WADOGO
TARIME MBIONI KUANZA
-
Wachimbaji wadogo wakiwa na leseni za uchimbaji madini walizopewa wakati wa
uzinduzi wa programu hii mwezi Mei,2025.
**
Tarime: Mradi wa Serikali wa kuwa...
Saa 15 zilizopita



Chapisha Maoni