Ali
Kiba baada ya kuteuliwa mwakilishi kwenye kampeni ya kuzuia vifo vya
tembo WildAid amekuwa akikutana na mabalozi wakiwemo wa Marekani na
msanii mkubwa wa filamu marekani Lupita Nyongo pamoja na familia
yake.Katika maongezi ameonekana mtulivu wa nje na ndani ya nafsi ishara
tosha anakimudu kingereza.Huku akipunguza matabasamu mengi wakati wa
maongezi kama timu pinzani.
YAS TANZANIA YAONGOZA MUUNGANO WA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO KUKABIDHI
MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO SERIKALIN
-
Muungano wa watoa huduma za mawasiliano nchini (Telco Operators Consortium)
umekamilisha rasmi ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 na kukabidhi zaidi
ya ...
Saa 2 zilizopita



Chapisha Maoni