Ali
Kiba baada ya kuteuliwa mwakilishi kwenye kampeni ya kuzuia vifo vya
tembo WildAid amekuwa akikutana na mabalozi wakiwemo wa Marekani na
msanii mkubwa wa filamu marekani Lupita Nyongo pamoja na familia
yake.Katika maongezi ameonekana mtulivu wa nje na ndani ya nafsi ishara
tosha anakimudu kingereza.Huku akipunguza matabasamu mengi wakati wa
maongezi kama timu pinzani.
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 10 zilizopita



Chapisha Maoni