Ali
Kiba baada ya kuteuliwa mwakilishi kwenye kampeni ya kuzuia vifo vya
tembo WildAid amekuwa akikutana na mabalozi wakiwemo wa Marekani na
msanii mkubwa wa filamu marekani Lupita Nyongo pamoja na familia
yake.Katika maongezi ameonekana mtulivu wa nje na ndani ya nafsi ishara
tosha anakimudu kingereza.Huku akipunguza matabasamu mengi wakati wa
maongezi kama timu pinzani.
TANZANIA YASISITIZA USHIRIKIANO WA UMOJA WA AFRIKA ILI KUPUNGUZA VIFO VYA
MAMA NA MTOTO
-
Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa
Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika
kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya m...
Saa 17 zilizopita



Chapisha Maoni