kiongozi wa makundi ya kigaidi anayehusika na maeneo 4 yaliyopo
kaskazini mwa nchi ya Afghanistan Mullah Muhammad Nabi atiwa mbaroni.
Msemaji wa kituo cha Polisi cha Faryab Masoud Said Jacob, alisema kuwa Nabi alikamatwa katika mji wa Faryab wilaya ya Gurziv.
Yakubi, aliendelea kusema kuwa Nabi anashikiliwa kwa makosa wa
umwagaji damu katika mashambulizi ya ugaidi na kuingiza silaha kutoka
nje.
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 5 zilizopita
Chapisha Maoni