kiongozi wa makundi ya kigaidi anayehusika na maeneo 4 yaliyopo
kaskazini mwa nchi ya Afghanistan Mullah Muhammad Nabi atiwa mbaroni.
Msemaji wa kituo cha Polisi cha Faryab Masoud Said Jacob, alisema kuwa Nabi alikamatwa katika mji wa Faryab wilaya ya Gurziv.
Yakubi, aliendelea kusema kuwa Nabi anashikiliwa kwa makosa wa
umwagaji damu katika mashambulizi ya ugaidi na kuingiza silaha kutoka
nje.
JUBILEE INSURANCE WAZINDUA OFİSİ YAO MPYA FAYKAT TOWER
-
Na Mwandishi Wetu
JUBILEE Insurance (Jubilee Life na Jubilee Health) leo Novemba 17,2025
wamezindua rasmi ofisi yao mpya iliyopo ghorofa ya tatu jengo l...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni