kiongozi wa makundi ya kigaidi anayehusika na maeneo 4 yaliyopo
kaskazini mwa nchi ya Afghanistan Mullah Muhammad Nabi atiwa mbaroni.
Msemaji wa kituo cha Polisi cha Faryab Masoud Said Jacob, alisema kuwa Nabi alikamatwa katika mji wa Faryab wilaya ya Gurziv.
Yakubi, aliendelea kusema kuwa Nabi anashikiliwa kwa makosa wa
umwagaji damu katika mashambulizi ya ugaidi na kuingiza silaha kutoka
nje.
Mfumo Mpya wa Leseni za Madini Kuimarisha Uwazi na Uwekezaji
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Arusha, 1 Oktoba 2025: Tume ya Madini imeboresha mfumo wa utoaji na
usimamizi wa leseni za madini ili kurahisisha upatikanaji wa ...
Saa 3 zilizopita
Chapisha Maoni