kiongozi wa makundi ya kigaidi anayehusika na maeneo 4 yaliyopo
kaskazini mwa nchi ya Afghanistan Mullah Muhammad Nabi atiwa mbaroni.
Msemaji wa kituo cha Polisi cha Faryab Masoud Said Jacob, alisema kuwa Nabi alikamatwa katika mji wa Faryab wilaya ya Gurziv.
Yakubi, aliendelea kusema kuwa Nabi anashikiliwa kwa makosa wa
umwagaji damu katika mashambulizi ya ugaidi na kuingiza silaha kutoka
nje.
Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria
-
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya
Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na
watu ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni