Rais wa zimbabwe Robert Gabrhel mugabe pichani
kwa mala nyingine amekazia kiapo chake cha kuwanyonga wale wote watakaojihusisha na mapenz ya jinsia moja
@
akizungumza ktk mkutano mkubwa wa hadhara hiv karbuni kiongoz huyo
ambaye pia ni mwenyekt wa zamu wa wakuu wa nchi wanacha wa umoja wa
Afrika na SADC amesema Taifa lake kamwe halitakubal ushoga upige hod
nchn humo na anachukia mno uchafu huo
.
Anasema ukiwachukua mashoga ukiwafungia chumban kwa miaka mitano halafu hawakuzalisha mtoto basi bora uwaue
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 5 zilizopita

Chapisha Maoni