Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib bilal na mwenyeji wake Makamu wa Rais wa china Li Yuanchao wakisimama kwa heshima wakati nyimbo za Taifa la Tanzania na kenya zikipigwa kwenye mapokezi yake katika ukumbi maalum wa watu wa china kwa ajili ya mazungumzo baada ya ziara yake Nchini China
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA SADC WATEMBELEA TMA KUKAGUA NA KUKABIDHI VIFAA VYA
HALI YA HEWA
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka
Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jum...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni