RATIBA YA UCHAGUZI
WA DOLA KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI ILIYOPITISHWA NA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU
YA TAIFA CHA TAREHE 23-24/05/2015
1. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
NA
|
TAREHE
|
TUKIO
|
1.
|
03/06/2015 hadi 02/07/2015
|
Kuchukua na kurudisha fomu.
Mwisho wa kurudisha fomu
ni tarehe 02/07/2015 saa 10.00 jioni
|
2.
|
03/06/2015 hadi
02/07/2015
|
Wadhamini
|
3.
|
08/07/2015
|
Kikao cha Kamati ya
Usalama na Maadili
|
4.
|
09/07/2015
|
Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa
|
5.
|
10/07/2015
|
Kikao cha Halmashauri
Kuu ya Taifa
|
6.
|
11/07/2015 hadi
12/07/2015
|
Mkutano Mkuu
|
2. URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
NA
|
TAREHE
|
TUKIO
|
1.
|
03/06/2015 hadi 02/07/2015
|
Kuchukua na kurudisha fomu.
Mwisho wa kurudisha fomu
ni tarehe 02/07/2015 saa 10.00 jioni
|
2.
|
03/06/2015 hadi
02/07/2015
|
Wadhamini
|
3.
|
04/07/2015
|
Kikao cha Kamati ya
Usalama na Maadili - Zanzibar
|
4.
|
05/07/2015
|
Kikao cha Kamati Maalum
ya ya Halmashauri Kuu ya Taifa - Zanzibar
|
5.
|
08/07/2015
|
Kikao cha Kamati ya
Usalama na Maadili
|
6.
|
09/07/2015
|
Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa
|
7.
|
10/07/2015
|
Kikao cha Halmashauri
Kuu ya Taifa kuteua mgombea Urais
|
3. UBUNGE
NA
|
TAREHE
|
TUKIO
|
1.
|
15/07/2015 hadi 19/07/2015
|
Kuchukua na kurudisha fomu.
Mwisho wa kurudisha fomu
ni tarehe 02/07/2015 saa 10.00 jioni
|
2.
|
20/07/2015 hadi
31/07/2015
|
Mikutano ya Kampeni kwa
ajili ya kura ya maoni
|
3.
|
01/08/2015
|
Kupiga kura ya maoni
|
4.
|
02/08/2015
|
Kuandaa taarifa ya
matokeo ya kura ya maoni
|
5.
|
03/082015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Wilaya
|
6.
|
05/08/2015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Mkoa
|
08/08/2015
|
Kikao cha Kamati Maalum
ya Halmashauri Kuu ya Taifa - Zanzibar
|
|
7.
|
10/08/2015
|
Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa
|
8.
|
11/08/2015 hadi
12/08/2015
|
Kikao cha Halmashauri
Kuu ya Taifa kwa ajili ya uteuzi.
|
4. UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
NA
|
TAREHE
|
TUKIO
|
1.
|
15/07/2015 hadi
19/07/2015
|
Kuchukua na kurudisha fomu.
Mwisho wa kurudisha fomu
ni tarehe 19/07/2015 saa 10.00 jioni
|
2.
|
20/07/2015 hadi
31/07/2015
|
Mikutano ya Kampeni kwa
ajili ya kura ya maoni
|
3.
|
01/08/2015
|
Kupiga kura ya maoni
|
02/08/2015
|
Kuandaa taarifa ya
matokeo ya kura ya maoni
|
|
4.
|
03/08/2015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Wilaya
|
5.
|
05/08/2015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Mkoa
|
6.
|
08/08/2015
|
Kikao cha Kamati Maalum ya
Halmashauri Kuu ya Taifa - Zanzibar
|
7.
|
10/08/2015
|
Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa
|
8.
|
11/08/2015 hadi
12/08/2015
|
Kikao cha Halmashauri
Kuu ya Taifa kwa ajili ya uteuzi
|
5. UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA
WAWAKILISHI – VITI MAALUM - WANAWAKE
NA
|
TAREHE
|
TUKIO
|
1.
|
15/07/2015 hadi
19/07/2015
|
Kuchukua na kurudisha fomu.
Mwisho wa kurudisha fomu
ni tarehe 19/07/2015 saa 10.00 jioni
|
2.
|
02/08/2015
|
Mikutano Mikuu ya UWT
Mikoa kupiga kura za maoni kwa wagombea 2 kwa kila mkoa.
|
3.
|
03/08/2015
|
Baraza Kuu la Vijana
Mkoa kupiga kura za maoni kwa wagombea wa Viti Maalum kundi la Vijana.
|
4.
|
04/08/2015
|
Baraza Kuu la Wazazi
Mkoa kupiga kura za maoni kwa wagombea Viti Maalum kundi la Wazazi.
|
05/08/2015
|
Kamati za Siasa za Mikoa
kuandaa mapendekezo yatakayowasilishwa kwenye Baraza Kuu la UWT Taifa.
|
|
4.
|
07/08/2015
|
Baraza Kuu la UWT
kuandaa mapendekezo yatakayowasilishwa kwenye Halmashauri Kuu ya Taifa.
|
5.
|
08/08/2015
|
Kikao cha Kamati Maalum
ya Halmashauri Kuu ya Taifa
|
6.
|
09/08/2015
|
Kikao cha Sekretarieti
ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
|
7.
|
10/08/2015
|
Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa
|
8.
|
11/08/2015 hadi
12/08/2015
|
Kikao cha Halmashauri
Kuu ya Taifa kwa ajili ya uteuzi
|
6. UDIWANI WA KATA/WADI
NA
|
TAREHE
|
TUKIO
|
1.
|
15/07/2015 hadi 19/07/2015
|
Kuchukua na kurudisha fomu.
Mwisho wa kurudisha fomu
ni tarehe 19/07/2015 saa 10.00 jioni
|
2.
|
20/07/2015 hadi
31/07/2015
|
Mikutano ya kampeni kwa
ajili ya kura ya maoni
|
3.
|
01/08/2015
|
Kupiga kura ya maoni
|
4.
|
02/08/2015
|
Kuandaa taarifa ya
matokeo ya kura ya maoni
|
5.
|
03/08/2015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Kata/Wadi
|
6.
|
04/08/2015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Wilaya
|
7.
|
05/08/2015 hadi
06/08/2015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Mikoa
|
8.
|
07/08/2015
|
Kikao cha Halmshauri Kuu
ya Mkoa kwa ajili ya uteuzi.
|
7. UDIWANI VITI MAALUM - WANAWAKE
NA
|
TAREHE
|
TUKIO
|
1.
|
15/07/2015 hadi
19/07/2015
|
Kuchukua na kurudisha fomu.
Mwisho wa kurudisha fomu
ni tarehe 19/07/2015 saa 10.00 jioni
|
2.
|
03/08/2015
|
Mikutano Mikuu ya UWT ya
Wilaya kwa ajili ya kupiga kura ya maoni
|
3.
|
04/08/2015
|
Kikao cha Kamati za Siasa
za Wilaya
|
4.
|
05/08/2015 hadi
06/08/2015
|
Kikao cha Kamati za
Siasa za Mikoa
|
5.
|
07/08/2015
|
Kikao cha Halmshauri Kuu
ya Mkoa kwa ajili ya uteuzi.
|
MASHARTI KWA KILA NAFASI YA KUOMBEA
UONGOZI
1. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
·
Kila mgombea ni lazima
apate wadhamini 450 katika mikoa 15 walau 3 kati ya hiyo iwe ya Zanzibar.
·
Wajumbe wote wa Mkutano
Mkuu wa Taifa hawaruhusiwi kumdhamini mgombea Urais.
·
Mwanachama haruhusiwi
kumdhamini mgombea Urais zaidi ya mmoja.
·
Fomu ya udhamini ya
wanachama ithibitishwe na Katibu wa CCM wa Wilaya kwa kupigwa muhuri wa Chama
wa Wilaya husika.
·
Wanachama watakao mdhamini
mgombea, uanachama wao uthibitishwe na Katibu wa CCM Wilaya husika na kupiga
muhuri wa Chama.
2. URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
·
Kila
mgombea ni lazima apate wadhamini 250 katika mikoa 3 kati ya hiyo angalau Mkoa
mmoja toka Unguja na mmoja kutoka Pemba.
·
Wajumbe
wote wa Mkutano Mkuu wa Taifa hawaruhusiwi kumdhamini mgombea Urais.
·
Mwanachama
haruhusiwi kumdhamini mgombea Urais zaidi ya mmoja.
·
Fomu
ya udhamini ya wanachama ithibitishwe na Katibu wa CCM Wilaya kwa kupigwa
muhuri wa Chama wa Wilaya husika.
·
Wanachama
watakao mdhamini mgombea, uanachama wao uthibitishwe na Katibu wa CCM Wilaya
husika na kupiga muhuri wa Chama.
3. UBUNGE
·
Kila
mgombea atachangia gharama za safari za kampeni.
·
Kila
mgombea atalazimika kuzingatia Maadili ya Chama Cha Mapinduzi na Miiko ya
Uchaguzi wa ndani ya Chama.
4. UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
·
Kila mgombea atachangia gharama za safari za
kampeni.
·
Kila
mgombea atalazimika kuzingatia Maadili ya Chama Cha Mapinduzi na Miiko ya
Uchaguzi wa ndani ya Chama.
5. UDIWANI WA KATA/WADI
·
Kila mgombea atachangia gharama za safari za
kampeni.
·
Kila
mgombea atalazimika kuzingatia Maadili ya Chama Cha Mapinduzi na Miiko ya
Uchaguzi wa ndani ya Chama.
MWISHO:
Aidha,
wagombea wote wanatakiwa kuzingatia Kanuni za Chama Cha Mapinduzi.
Chapisha Maoni