
Hafla fupi ya uzinduzi wa magari hayo kitaifa umefanyika mkoani
Mtwara huku mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Felchesmi Mramba akisema
magari hayo ni mapya yatasaidia kuboresha utendaji kazi na kuleta
ufanisi hasa wilayani, huku akisisitiza shirika hilo kuendelea
kujiboresha ili kuondoa malalamiko dhidi ya wananchi.
Akizungumzia uboreshaji wa kituo cha Mtwara na Lindi ambacho
kinazalisha mega wati 18 ambazo haziendani na uwekezaji uliyopo hivi
sasa anasema
Kwa upande wake meneja wa Tanesco mkoa wa Mtwara Azizi Salumu anazungumzia ujio wa magari hayo.
Chapisha Maoni