
Akizungumza katika uzinduzi huo mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
amesema moja kati ya mambo ya msingi ambayo kwa sasa yanatakiwa
kufanyika ni tume ya taifa ya uchaguzi kuhakikisha zoezi la uandikishaji
wapiga kura linafanyika kikamilifu la sivyo watabeba mzigo wa lawama.
Chapisha Maoni