UJENZI unaoendelea katika makutrano ya
barabara ya Morogoro na Msimbazi Kariakoo upo mbioni kukamilika kufuatia
na matengenezo ya ujenzi huo kuoneka ukienda kwa kasi.
Kamera yetu leo imefanikiwa kunasa baadhi ya picha zinazoonesha ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea kwa kasi kufuatia magari ya kutengeneza barabara yakiwa kazini na wafanyakazi wa kampuni ya Strabag wakionekana wakishughulika.
Kamera yetu leo imefanikiwa kunasa baadhi ya picha zinazoonesha ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea kwa kasi kufuatia magari ya kutengeneza barabara yakiwa kazini na wafanyakazi wa kampuni ya Strabag wakionekana wakishughulika.
TORI: DENIS MTIMA/GPL
Chapisha Maoni