
Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma anametaka uchaguzi wa urais nchini Burundi kuahirishwa.
Wafanyikazi wa mahospitali nchini Burundi awali walielezea kuwa kumekuwa na mshambulizi ya kulipiza kisasi ambapo polisi wamekuwa wakiwajeruhi wanajeshi waliodaiwa kuhusika na jaribio hilo lakini Rais wa taifa hilo Bwana Pierre Nkurunziza amekana madai ya kutaka kulipiza kisasi dhidi ya watekelezaji wa shambulio hilo.
Chapisha Maoni