
Kesi ya Morsi na watuhumiwa wenziwe 10 kusikilizwa ifikapo Juni 14
Rais Mohammed Morsi alihukumiwa mwezi Septemba na watu wengine 10 kuhatarisha usalama na kuyumbisha uchuni nchini Misri.
Rais Morsi anatuhumiwa pia kuvujisha nyaraka za usalama wa taifa kwa Qatar CHANZO: TRT SWAHILI
Chapisha Maoni