0
Mkutano wa 25 wa Umoja wa Afrika Johannesberg

Burundi, ugaidi na wanawake mada mezani zinazojadiliwa katika mkutano wa Umoja wa Afrika Afrika Kusini

Mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika umefunguliwa Alhamisi Juni 11 jijini Johannesburg.
Kauli mbiu ya mkutano huo wa 25 ikiwa ni kujitegemea kwa wanawake.
Alhamisi na Ijumaa, mawaziri wa mambo ya nje ndio wanaokutana huku marais wakitarajiwa kukutana mwishoni mwa Juma.
Katika mkutano huo kutazungumziwa suala la kujitegemea kwa wanawake, ugaidi na mizozo inayojiri barani Afrika ikiwemo mzozo wa Burundi.

Chapisha Maoni

 
Top