0
Muigizaji mkongwe wa filamu aaga dunia

Mcheza filamu maarufu kutoka Uingereza Christopher Lee afariki akiwa na miaka 93

Christopher Frank Carandini Lee, ambaye ni muigizaji mkongwe wa filamu kutoka Uingereza ameripotiwa kufariki katika akiwa na umri wa miaka 93.

Christopher Lee aliwahi kupelekwa katika hospitali ya Chelsea na Westminster mjini London siku ya Jumapili baada ya kupata matatizo ya kupumua.

Christopher Lee alikuwa ni muigizaji anayetambulika kote duniani kwa kuigiza katika filamu mbalimbali maarufu kama vile Frankenstein, Dracula, Star Wars, Hobbit, The Lord of The Rings na nyinginezo.CHANZO :TRT SWAHILI

Chapisha Maoni

 
Top