0
Wabunge wa Ulaya waomba kuchaguliwa kwa kiongozi wa FIFA

Bunge la Ulaya laomba kuchaguliwa kwa haraka kwa kiongozi wa FIFA

Bunge la Ulaya lilipokea kwa moyo mkunjufu kujiuzulu kwa Sepp Blatter.
Baada ya kupokea kwa moyo mkunjufu, bunge la Ulaya limetowa wito kwa shirika la FIFA likilitaka kuchagua kwa haraka kiongozi atakae wakilisha na kuongoza shirika hilo.

Bunge la Ulaya lilipitisha mswada unaoomba tume ambayo inasimamia uchunguzi wa madai ya rushwa katika shirika la FIFA kufanya haraka ilikupatikane suluhu.

Chapisha Maoni

 
Top