WATU ZAIDI YA 1OO WAUAWA NCHINI IRAQ
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwanahabari wa Al Jazeera Nasser Shadid, alisema kuwa mashambulizi hayo yalilenga soko kuu na daraja lililoko mjini.
Kwa taarifa kutoka kwa wananchi wa kijiji hicho, kuwa wanaamini kuwa shambulio hilo limefanywa na ndege za kijeshi zilizotengenezwa na Urusi aina ya “Sukhoi.”
CHANZO TRT SWAHILI
Chapisha Maoni