Waandamanaji huko Paraguay , wamevamia majengo ya bunge la nchi hiyo na kuliwasha moto.
Wanapinga
hatua ya bunge la senate la nchi hiyo kukutana kwa faragha na
kupitisha mswada wa kufanyia marekebisho kipengee cha katiba ya nchi
hiyo,kitakachomruhusu Rais Horacio Cartes kuwania muhula wa pili
madarakani.
NAIBU WAZIRI MWANAIDI ATEMA CHECHE MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI NA MMOMONYOKO
WA MAADILI
-
*BUNGE LIKIPITISHA BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
Na WMJJWM-Dodoma
NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
ameweka ...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni