Na TRT Swahili
Maafisa wa polisi nchini Zambia wafahamisha kukamata pembe za ndovu pamoja na wawindaji 8 haramu siku ya Ijumaa .Msemaji
wa wizara ya utalii Sikabilo Kalembe aliambia waandishi wa habari kuwa
pembe hizo zilizkuwa zinapelekwa Ulaya na Asia ambapo biashara yake
huwa juu sana .
Pembe hizo za ndovu zilipatikana magharibi mwa Zambia ambapo wawindaji hao haramu walikuwa wanavukisha kupitia Namibia .Kwa mujibu wa Kalembe wawindaji haramu wanachukua fursa ya uwa hamna ulinzi imara katika mpaka wa Zambia .
WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
WILAYANI MALINYI
-
Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza
Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa
kuendelea na k...
Saa 3 zilizopita
Chapisha Maoni