Agizo la kurejesha Magari Millioni 34 hitilafu limetolewa na Waziri wa Usafirishaji nchini Marekani Bwana Anthony Foxx kufuatia hitilafu ya kiufundi kwenye mifuko ya hewa ya usalama.
Magari yanayorejeshwa yanahusu kampuni kumi na moja za kutengeneza magari zikiwemo za Honda, Toyota na Nissan.Urejeshwaji viwandani kwa magari mapya hufanyika baada ya kugundulika hitilafu lolote la kiufundi linaloweza kuhatarisha usalama wa watumiaji wa magari hayo.
Chapisha Maoni