Maandalizi
ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wananchi katika daftari la
wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29,
2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza
kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri
Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria
-
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya
Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na
watu ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni