Maandalizi
ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wananchi katika daftari la
wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29,
2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza
kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri
Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 10 zilizopita
Chapisha Maoni