Maandalizi
ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wananchi katika daftari la
wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29,
2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza
kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri
Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
YAS TANZANIA YAONGOZA MUUNGANO WA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO KUKABIDHI
MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO SERIKALIN
-
Muungano wa watoa huduma za mawasiliano nchini (Telco Operators Consortium)
umekamilisha rasmi ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 na kukabidhi zaidi
ya ...
Saa 3 zilizopita
Chapisha Maoni