Tasnia
ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa
TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya
kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi Bungeni mjini
Dodoma jana. TASNIA YA HABARI TANZANIA YAPATA PIGO
Tasnia
ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa
TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya
kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi Bungeni mjini
Dodoma jana.
Chapisha Maoni