Wanamgambo wa Talibani wameendesha shambulio dhidi ya bunge la Afghanistani na kuwajeruhi watu zaidi ya 30.
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo wa Talibani wameendesha shambulio dhidi ya bunge la Afghanistan na kuwajeruhi watu zaidi ya 30.
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo 7 waliuawa katika mapambano baada ya kulipuwa mabomu walikuwa walipovamia bunge mapema asubuhi.
Waziri wa afya wa Afghanistan, Firozuddin Feroz aliliambia shirika la habari kuwa hospitali jijini Kaboul liliwapokea majeruhi. TRT SWAHILI
Kongole NECTA kwa mpango kupanda miti 150,000 kutunza mazingira
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala
Utunzaji wa Mazingira ni jukumu letu sote. Uwe mtoto, kijana, mtu mzima au
mzee. Uwe mwanamke au mwanamme, uwe msomi au usiwe m...
Saa 3 zilizopita
Chapisha Maoni