Wanamgambo wa Talibani wameendesha shambulio dhidi ya bunge la Afghanistani na kuwajeruhi watu zaidi ya 30.
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo wa Talibani wameendesha shambulio dhidi ya bunge la Afghanistan na kuwajeruhi watu zaidi ya 30.
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo 7 waliuawa katika mapambano baada ya kulipuwa mabomu walikuwa walipovamia bunge mapema asubuhi.
Waziri wa afya wa Afghanistan, Firozuddin Feroz aliliambia shirika la habari kuwa hospitali jijini Kaboul liliwapokea majeruhi. TRT SWAHILI
WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA
-
Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo
tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya m...
Dakika 53 zilizopita
Chapisha Maoni