Wanamgambo wa Talibani wameendesha shambulio dhidi ya bunge la Afghanistani na kuwajeruhi watu zaidi ya 30.
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo wa Talibani wameendesha shambulio dhidi ya bunge la Afghanistan na kuwajeruhi watu zaidi ya 30.
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo 7 waliuawa katika mapambano baada ya kulipuwa mabomu walikuwa walipovamia bunge mapema asubuhi.
Waziri wa afya wa Afghanistan, Firozuddin Feroz aliliambia shirika la habari kuwa hospitali jijini Kaboul liliwapokea majeruhi. TRT SWAHILI
URITHI NGORONGORO: FAHAMU UTARATIBU WA MSIBA NA MAZIKO KWA KABILA LA
WAHADZABE.
-
Na Hamis Dambaya na Kassim Nyaki, Ngorongoro.
Jamii ya kabila la Wahadzabe ina historia ya kuvutia katika kila nyanja ya
maisha yao, watalii mbalimbali wan...
Dakika 34 zilizopita
Chapisha Maoni