31 WAJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO BUNGENI AFGHANISTANI
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo wa Talibani wameendesha shambulio dhidi ya bunge la Afghanistan na kuwajeruhi watu zaidi ya 30.
Taarifa zinafahamisha kuwa, wanamgambo 7 wa Taliban waliuawa na Polisi katika makabiliona.
Wanamgambo 7 waliuawa katika mapambano baada ya kulipuwa mabomu walikuwa walipovamia bunge mapema asubuhi.
Waziri wa afya wa Afghanistan, Firozuddin Feroz aliliambia shirika la habari kuwa hospitali jijini Kaboul liliwapokea majeruhi. TRT SWAHILI
Chapisha Maoni