Upinzani nchini Burundi wafahamisha kutoshiriki katika uchaguzi wa wabunge ambao umeandaliwa na tume inayosimamia uchaguzi nchini Burundi.
Charles Nditiji, mmoja wa wakilishi wa vyama vya upinzani nchini humo ndie alietoa taarifa hiyo.
Uchaguzi wa wabunge na ule wa madiwani unatarajiwa kufanyika Jumatatu Juni 29 huku hali ya usalama ikiripotiwa kuyumba jijini Bujumbura.
Huenda uchaguzi wa wabunge na ule wa serikali za mitaa ukafanyika kwa pamoja ifikapo Julai 31 huku ule wa rais kufanyika Agost 15.
Rais Pierre Nkurunziza kwa upande wake kufungua ramsi kampeni mkoani Kirundi nchini Burundi.
Ikiwa zimesalia siku chache ili kufanyike uchaguzi nchini Burundi,
mpatanishi wa mzozo wa Burundi alipendekeza kuahirishwa kwa mara
nyingine kwa uchaguzi huku chama tawala cha CNDD-FDD
baada ya kushiri katika mkutano siku moja, Alkhamis chama tawala
hakikushiki katika mkutano na kufahamisha kuwa kinajihusisha na kampeni
za uchaguzi.TRT SWAHILI
RAIS WA BURUNDI AMFARIJI RAIS SAMIA KIZIMKAZI ZANZIBAR
-
Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye, akimfariji Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, nyumbani
kwake...
Siku 1 iliyopita
Chapisha Maoni