Upinzani nchini Burundi wafahamisha kutoshiriki katika uchaguzi wa wabunge ambao umeandaliwa na tume inayosimamia uchaguzi nchini Burundi.
Charles Nditiji, mmoja wa wakilishi wa vyama vya upinzani nchini humo ndie alietoa taarifa hiyo.
Uchaguzi wa wabunge na ule wa madiwani unatarajiwa kufanyika Jumatatu Juni 29 huku hali ya usalama ikiripotiwa kuyumba jijini Bujumbura.
Huenda uchaguzi wa wabunge na ule wa serikali za mitaa ukafanyika kwa pamoja ifikapo Julai 31 huku ule wa rais kufanyika Agost 15.
Rais Pierre Nkurunziza kwa upande wake kufungua ramsi kampeni mkoani Kirundi nchini Burundi.
Ikiwa zimesalia siku chache ili kufanyike uchaguzi nchini Burundi,
mpatanishi wa mzozo wa Burundi alipendekeza kuahirishwa kwa mara
nyingine kwa uchaguzi huku chama tawala cha CNDD-FDD
baada ya kushiri katika mkutano siku moja, Alkhamis chama tawala
hakikushiki katika mkutano na kufahamisha kuwa kinajihusisha na kampeni
za uchaguzi.TRT SWAHILI
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
Saa 12 zilizopita
Chapisha Maoni