Patrick Njoroge,amechaguliwa rasmi na rais kuwa gavana mpya Benki kuu ya Kenya baada ya bunge kupitisha uchaguzi huo.
Rais Uhuru Kenyatta, amemchagua Yairo Mohammed Nyaoga, kuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo na Sheila M'Mbijjewe kuwa naibu mkuu wa pili wa gavana.
Uteuzi huo umemaanisha kuwa mkutano wa kamati ya sera na shirika la fedha, unaotarajiwa kufanyika Julai 7 utafanywa na gavana mpya wa Benki kuu.
Haron Sirima, mmoja wa naibu magavana wa benki hiyo,aliyeendesha mkutano wa mwisho uliofanyika Juni 9. TRT SWAHILI
URITHI NGORONGORO: FAHAMU UTARATIBU WA MSIBA NA MAZIKO KWA KABILA LA
WAHADZABE.
-
Na Hamis Dambaya na Kassim Nyaki, Ngorongoro.
Jamii ya kabila la Wahadzabe ina historia ya kuvutia katika kila nyanja ya
maisha yao, watalii mbalimbali wan...
Dakika 36 zilizopita
Chapisha Maoni