Patrick Njoroge,amechaguliwa rasmi na rais kuwa gavana mpya Benki kuu ya Kenya baada ya bunge kupitisha uchaguzi huo.
Rais Uhuru Kenyatta, amemchagua Yairo Mohammed Nyaoga, kuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo na Sheila M'Mbijjewe kuwa naibu mkuu wa pili wa gavana.
Uteuzi huo umemaanisha kuwa mkutano wa kamati ya sera na shirika la fedha, unaotarajiwa kufanyika Julai 7 utafanywa na gavana mpya wa Benki kuu.
Haron Sirima, mmoja wa naibu magavana wa benki hiyo,aliyeendesha mkutano wa mwisho uliofanyika Juni 9. TRT SWAHILI
JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA KUIMARISHA ULINZI KARIAKOO
-
Na Mwandishi wetu ,Dar es salaam
KUTOKANA na uvunjifu wa amani na uharibifu wa miundombinu uliojitokeza kwa
siku nne hadi tano zilizopita kwa baadhi y...
Saa 8 zilizopita
Chapisha Maoni