Patrick Njoroge,amechaguliwa rasmi na rais kuwa gavana mpya Benki kuu ya Kenya baada ya bunge kupitisha uchaguzi huo.
Rais Uhuru Kenyatta, amemchagua Yairo Mohammed Nyaoga, kuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo na Sheila M'Mbijjewe kuwa naibu mkuu wa pili wa gavana.
Uteuzi huo umemaanisha kuwa mkutano wa kamati ya sera na shirika la fedha, unaotarajiwa kufanyika Julai 7 utafanywa na gavana mpya wa Benki kuu.
Haron Sirima, mmoja wa naibu magavana wa benki hiyo,aliyeendesha mkutano wa mwisho uliofanyika Juni 9. TRT SWAHILI
YAS TANZANIA YAONGOZA MUUNGANO WA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO KUKABIDHI
MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO SERIKALIN
-
Muungano wa watoa huduma za mawasiliano nchini (Telco Operators Consortium)
umekamilisha rasmi ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 na kukabidhi zaidi
ya ...
Saa 3 zilizopita
Chapisha Maoni