Patrick Njoroge,amechaguliwa rasmi na rais kuwa gavana mpya Benki kuu ya Kenya baada ya bunge kupitisha uchaguzi huo.
Rais Uhuru Kenyatta, amemchagua Yairo Mohammed Nyaoga, kuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo na Sheila M'Mbijjewe kuwa naibu mkuu wa pili wa gavana.
Uteuzi huo umemaanisha kuwa mkutano wa kamati ya sera na shirika la fedha, unaotarajiwa kufanyika Julai 7 utafanywa na gavana mpya wa Benki kuu.
Haron Sirima, mmoja wa naibu magavana wa benki hiyo,aliyeendesha mkutano wa mwisho uliofanyika Juni 9. TRT SWAHILI
WALTER MAKUNDI, A TANZANIAN LIVING IN SINGAPORE, MEETS VISITING SENIOR
GOVERNMENT OFFICIALS FROM SEVERAL AFRICAN COUNTRIES
-
*Mr Walter Makundi (in blue shirt), a Tanzanian Civil and Structural
Engineer who has lived in Singapore with his family since 1994, has
described h...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni