Mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika umefunguliwa Alhamisi Juni 11 jijini Johannesburg.
Kauli mbiu ya mkutano huo wa 25 ikiwa ni kujitegemea kwa wanawake.
Alhamisi na Ijumaa, mawaziri wa mambo ya nje ndio wanaokutana huku marais wakitarajiwa kukutana mwishoni mwa Juma.
Katika mkutano huo kutazungumziwa suala la kujitegemea kwa wanawake, ugaidi na mizozo inayojiri barani Afrika ikiwemo mzozo wa Burundi.
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 10 zilizopita
Chapisha Maoni