Mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika umefunguliwa Alhamisi Juni 11 jijini Johannesburg.
Kauli mbiu ya mkutano huo wa 25 ikiwa ni kujitegemea kwa wanawake.
Alhamisi na Ijumaa, mawaziri wa mambo ya nje ndio wanaokutana huku marais wakitarajiwa kukutana mwishoni mwa Juma.
Katika mkutano huo kutazungumziwa suala la kujitegemea kwa wanawake, ugaidi na mizozo inayojiri barani Afrika ikiwemo mzozo wa Burundi.
Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria
-
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya
Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na
watu ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni