Christopher Frank Carandini Lee, ambaye ni muigizaji mkongwe wa filamu kutoka Uingereza ameripotiwa kufariki katika akiwa na umri wa miaka 93.
Christopher Lee aliwahi kupelekwa katika hospitali ya Chelsea na Westminster mjini London siku ya Jumapili baada ya kupata matatizo ya kupumua.
Christopher Lee alikuwa ni muigizaji anayetambulika
kote duniani kwa kuigiza katika filamu mbalimbali maarufu kama vile
Frankenstein, Dracula, Star Wars, Hobbit, The Lord of The Rings na
nyinginezo.CHANZO :TRT SWAHILI
MRADI WA SERIKALI , BARRICK NORTH MARA WA UWEZESHAJI WACHIMBAJI WADOGO
TARIME MBIONI KUANZA
-
Wachimbaji wadogo wakiwa na leseni za uchimbaji madini walizopewa wakati wa
uzinduzi wa programu hii mwezi Mei,2025.
**
Tarime: Mradi wa Serikali wa kuwa...
Saa 15 zilizopita
Chapisha Maoni