Christopher Frank Carandini Lee, ambaye ni muigizaji mkongwe wa filamu kutoka Uingereza ameripotiwa kufariki katika akiwa na umri wa miaka 93.
Christopher Lee aliwahi kupelekwa katika hospitali ya Chelsea na Westminster mjini London siku ya Jumapili baada ya kupata matatizo ya kupumua.
Christopher Lee alikuwa ni muigizaji anayetambulika
kote duniani kwa kuigiza katika filamu mbalimbali maarufu kama vile
Frankenstein, Dracula, Star Wars, Hobbit, The Lord of The Rings na
nyinginezo.CHANZO :TRT SWAHILI
NMB yajivunia ushiriki, udhamini wa matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar
-
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
WAKATI Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ikiitunukia Cheti cha Shukrani
na Pongezi kwa kufadhili, kudhamini na kushiriki ...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni