Christopher Frank Carandini Lee, ambaye ni muigizaji mkongwe wa filamu kutoka Uingereza ameripotiwa kufariki katika akiwa na umri wa miaka 93.
Christopher Lee aliwahi kupelekwa katika hospitali ya Chelsea na Westminster mjini London siku ya Jumapili baada ya kupata matatizo ya kupumua.
Christopher Lee alikuwa ni muigizaji anayetambulika
kote duniani kwa kuigiza katika filamu mbalimbali maarufu kama vile
Frankenstein, Dracula, Star Wars, Hobbit, The Lord of The Rings na
nyinginezo.CHANZO :TRT SWAHILI
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 5 zilizopita
Chapisha Maoni