Christopher Frank Carandini Lee, ambaye ni muigizaji mkongwe wa filamu kutoka Uingereza ameripotiwa kufariki katika akiwa na umri wa miaka 93.
Christopher Lee aliwahi kupelekwa katika hospitali ya Chelsea na Westminster mjini London siku ya Jumapili baada ya kupata matatizo ya kupumua.
Christopher Lee alikuwa ni muigizaji anayetambulika
kote duniani kwa kuigiza katika filamu mbalimbali maarufu kama vile
Frankenstein, Dracula, Star Wars, Hobbit, The Lord of The Rings na
nyinginezo.CHANZO :TRT SWAHILI
WALTER MAKUNDI, A TANZANIAN LIVING IN SINGAPORE, MEETS VISITING SENIOR
GOVERNMENT OFFICIALS FROM SEVERAL AFRICAN COUNTRIES
-
*Mr Walter Makundi (in blue shirt), a Tanzanian Civil and Structural
Engineer who has lived in Singapore with his family since 1994, has
described h...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni