Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa ma shirika la afya nchini Yemen, raia 10 waliuawa katika shambulio lililoendeshwa na wanamgambo wa Daesh.
Wanamgambo wa Daesh walishambulia kwa silaha nzito katika mitaa inayopatikana Mamdara.
Raia hao 10 walifariki baada ya eneo lao kupigwa mabomu na Houthis kusini mwa Yemen.
Taarifa zinafahamisha kuwa wanamgambo wa Houthis wanaendesha mashambulizi dhidi ya baadhi ya tarafa za jiji la Aden. CHANZO: TRT SWAHILI
ORXY YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA WILAYANI KARATU,SERIKALI YATOA NENO
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Karatu
SERIKALI imesema itaendelea kuwalinda wawekezaji wa ndani pamoja na kuunga
mkono uwekezaji wowote unaofanywa na wa...
Dakika 47 zilizopita
Chapisha Maoni