Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa ma shirika la afya nchini Yemen, raia 10 waliuawa katika shambulio lililoendeshwa na wanamgambo wa Daesh.
Wanamgambo wa Daesh walishambulia kwa silaha nzito katika mitaa inayopatikana Mamdara.
Raia hao 10 walifariki baada ya eneo lao kupigwa mabomu na Houthis kusini mwa Yemen.
Taarifa zinafahamisha kuwa wanamgambo wa Houthis wanaendesha mashambulizi dhidi ya baadhi ya tarafa za jiji la Aden. CHANZO: TRT SWAHILI
YAS TANZANIA YAONGOZA MUUNGANO WA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO KUKABIDHI
MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO SERIKALIN
-
Muungano wa watoa huduma za mawasiliano nchini (Telco Operators Consortium)
umekamilisha rasmi ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 na kukabidhi zaidi
ya ...
Saa 3 zilizopita
Chapisha Maoni