Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa ma shirika la afya nchini Yemen, raia 10 waliuawa katika shambulio lililoendeshwa na wanamgambo wa Daesh.
Wanamgambo wa Daesh walishambulia kwa silaha nzito katika mitaa inayopatikana Mamdara.
Raia hao 10 walifariki baada ya eneo lao kupigwa mabomu na Houthis kusini mwa Yemen.
Taarifa zinafahamisha kuwa wanamgambo wa Houthis wanaendesha mashambulizi dhidi ya baadhi ya tarafa za jiji la Aden. CHANZO: TRT SWAHILI
MRADI WA SERIKALI , BARRICK NORTH MARA WA UWEZESHAJI WACHIMBAJI WADOGO
TARIME MBIONI KUANZA
-
Wachimbaji wadogo wakiwa na leseni za uchimbaji madini walizopewa wakati wa
uzinduzi wa programu hii mwezi Mei,2025.
**
Tarime: Mradi wa Serikali wa kuwa...
Saa 17 zilizopita
Chapisha Maoni