Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa ma shirika la afya nchini Yemen, raia 10 waliuawa katika shambulio lililoendeshwa na wanamgambo wa Daesh.
Wanamgambo wa Daesh walishambulia kwa silaha nzito katika mitaa inayopatikana Mamdara.
Raia hao 10 walifariki baada ya eneo lao kupigwa mabomu na Houthis kusini mwa Yemen.
Taarifa zinafahamisha kuwa wanamgambo wa Houthis wanaendesha mashambulizi dhidi ya baadhi ya tarafa za jiji la Aden. CHANZO: TRT SWAHILI
ANTHONY GODFREY MARIKI : PROGRAMU YA BARRICK YA KUWEKEZA KATIKA KIZAZI
KIJACHO CHA WATAALAMU WA SEKTA YA MADINI INA MANUFAA MAKUBWA KWA TAIFA
-
Anthony Mariki , katikati akipokea ufadhili wa kwenda kusoma chuo Kikuu cha
Johannesburg Afrika kusini , Shahada ya Uhandisi wa Madini , kulia Makamu
Mkuu...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni