Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa ma shirika la afya nchini Yemen, raia 10 waliuawa katika shambulio lililoendeshwa na wanamgambo wa Daesh.
Wanamgambo wa Daesh walishambulia kwa silaha nzito katika mitaa inayopatikana Mamdara.
Raia hao 10 walifariki baada ya eneo lao kupigwa mabomu na Houthis kusini mwa Yemen.
Taarifa zinafahamisha kuwa wanamgambo wa Houthis wanaendesha mashambulizi dhidi ya baadhi ya tarafa za jiji la Aden. CHANZO: TRT SWAHILI
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 10 zilizopita
Chapisha Maoni