0
Raia 10 wauawa katika shambulio la Houthis Yemen

Raia 10 wauawa katika shambulio la Houthis Yemen

Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa ma shirika la afya nchini Yemen, raia 10 waliuawa katika shambulio lililoendeshwa na wanamgambo wa Daesh.

Wanamgambo wa Daesh walishambulia kwa silaha nzito katika mitaa inayopatikana Mamdara.
Raia hao 10 walifariki baada ya eneo lao kupigwa mabomu na Houthis kusini mwa Yemen.

Taarifa zinafahamisha kuwa wanamgambo wa Houthis wanaendesha mashambulizi dhidi ya baadhi ya tarafa za jiji la Aden. CHANZO: TRT SWAHILI

Chapisha Maoni

 
Top