Msumbiji yaidhinisha ndoa kwa watu wa jinsia moja
ili kuepuka unyanyasaji ambao huendeshewa wapenzi wa jinsia moja katika
ukanda wa Afrika ya Kusini.
Uhusiano wa kimapenzi baina ya watu wa jinsia mojo sio tena kosa la jinai nchini Msumbiji baada ya kupitishwa kwa kanuni mpya ya sheria.
Kanuni hiyo imepitishwa Jumatatu Juni 29 ambayo inahalalisha uhusiano wa kimapenzi kwa watu wa jinsia moja na kuhalalisha utoaji ujauzito.TRT SWAHILI
Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria
-
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya
Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na
watu ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni