Msumbiji yaidhinisha ndoa kwa watu wa jinsia moja
ili kuepuka unyanyasaji ambao huendeshewa wapenzi wa jinsia moja katika
ukanda wa Afrika ya Kusini.
Uhusiano wa kimapenzi baina ya watu wa jinsia mojo sio tena kosa la jinai nchini Msumbiji baada ya kupitishwa kwa kanuni mpya ya sheria.
Kanuni hiyo imepitishwa Jumatatu Juni 29 ambayo inahalalisha uhusiano wa kimapenzi kwa watu wa jinsia moja na kuhalalisha utoaji ujauzito.TRT SWAHILI
DC Ilala Aagiza Polisi Kuwakamata Wauaji wa Salehe Iddi Salehe
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya
ya Kipolisi Ilala, kupitia Kamanda wake ACP Yustino Mgonja, kuhakikisha
lina...
Saa 10 zilizopita
Chapisha Maoni