Msumbiji yaidhinisha ndoa kwa watu wa jinsia moja
ili kuepuka unyanyasaji ambao huendeshewa wapenzi wa jinsia moja katika
ukanda wa Afrika ya Kusini.
Uhusiano wa kimapenzi baina ya watu wa jinsia mojo sio tena kosa la jinai nchini Msumbiji baada ya kupitishwa kwa kanuni mpya ya sheria.
Kanuni hiyo imepitishwa Jumatatu Juni 29 ambayo inahalalisha uhusiano wa kimapenzi kwa watu wa jinsia moja na kuhalalisha utoaji ujauzito.TRT SWAHILI
YAS TANZANIA YAONGOZA MUUNGANO WA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO KUKABIDHI
MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO SERIKALIN
-
Muungano wa watoa huduma za mawasiliano nchini (Telco Operators Consortium)
umekamilisha rasmi ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 na kukabidhi zaidi
ya ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni