Msumbiji yaidhinisha ndoa kwa watu wa jinsia moja
ili kuepuka unyanyasaji ambao huendeshewa wapenzi wa jinsia moja katika
ukanda wa Afrika ya Kusini.
Uhusiano wa kimapenzi baina ya watu wa jinsia mojo sio tena kosa la jinai nchini Msumbiji baada ya kupitishwa kwa kanuni mpya ya sheria.
Kanuni hiyo imepitishwa Jumatatu Juni 29 ambayo inahalalisha uhusiano wa kimapenzi kwa watu wa jinsia moja na kuhalalisha utoaji ujauzito.TRT SWAHILI
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 10 zilizopita
Chapisha Maoni