Rais wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila ametoa wito wa mazungumzo baina ya wakongomani wenyewe bila kuingiliwa kati.
Wito huo umetolewa baada ya upinzani kuomba mazungumzo na wawakilishi wa kimataifa.
Katika sherehe za kuazimisha maika 55 ya uhuru wa Jamuhuri ya Kidemokrasia, rais Kabila alifahamisha kuwa alitilia maanani ombi la upinzani kuhitaji mazungumzo na serikali.
Rais Kabila alifahamisha kuwa yupo tayari kwa mazungumzo ila bila ushirikiano wa kimataifa.
Upinzani nchini humo ulifahamisha kuwa katika mazungumzo hayo ni muhimu kuepo na wawakilishi wakimataifa.TRT SWAHILI
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 10 zilizopita
Chapisha Maoni