Rais wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila ametoa wito wa mazungumzo baina ya wakongomani wenyewe bila kuingiliwa kati.
Wito huo umetolewa baada ya upinzani kuomba mazungumzo na wawakilishi wa kimataifa.
Katika sherehe za kuazimisha maika 55 ya uhuru wa Jamuhuri ya Kidemokrasia, rais Kabila alifahamisha kuwa alitilia maanani ombi la upinzani kuhitaji mazungumzo na serikali.
Rais Kabila alifahamisha kuwa yupo tayari kwa mazungumzo ila bila ushirikiano wa kimataifa.
Upinzani nchini humo ulifahamisha kuwa katika mazungumzo hayo ni muhimu kuepo na wawakilishi wakimataifa.TRT SWAHILI
Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria
-
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya
Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na
watu ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni