Staa
wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake
aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama
yeye.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi
anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi
yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 10 zilizopita
Chapisha Maoni