Staa
wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake
aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama
yeye.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi
anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi
yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
YAS TANZANIA YAONGOZA MUUNGANO WA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO KUKABIDHI
MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO SERIKALIN
-
Muungano wa watoa huduma za mawasiliano nchini (Telco Operators Consortium)
umekamilisha rasmi ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 na kukabidhi zaidi
ya ...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni