Staa
wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake
aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama
yeye.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi
anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi
yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
CMSA YAJIVUNIA KUWEKA ALAMA YA MAFANIKIO KATIKA MAENDELEO YA
MASOKO,YAZINDUA MAUZO STAWI BOND
-
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA.
Nicodemus Mkama amesema Tanzania imeweka alama kubwa ya mafanikio katika
maendel...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni