Staa
wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake
aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama
yeye.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi
anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi
yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
WAZIRI KOMBO APONGEZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA JPC RWANDA,
AHIMIZA KUCHANGAMKIA FURSA ZA USHIRIKIANO
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewapongeza wajumbe wa Tanzania waliowasili
jijini Kiga...
Saa 1 iliyopita
Chapisha Maoni