Wamasai nchini Kenya wafahamisha kupambana ili kuokoa jamii ya vifaru ambayo inatishiwa kupotea na kumaliza na wawindaji haramu.
Jamii ya wamasai Afrika mashariki ni jamii ambayo anatambulika kama jamii ya wawindaji mahiri.
Katika mila na tamaduni za kimasai, mtoto anapofikia umri wa kukatwa jando hutumwa kuwinda simba.
Kijana iwapo atafaulu kazi aliotomwa basi katika jamii atakuwa mtu mwenye kuheshimika na mwenye hadhi kubwa.
Unapokuwa katika mbuga ya Ol Pejeta, wanyama kama tembo, vifaru, simba na wanyama pori wengine huonekana wakiwa huru.
Wasai 11 ambao wanahusika na kulinda wanyama wanaotishiwa kamalizika wamefahamisha kuwa wameumua kuanza kucheza mchezo wa "cricket" wakiwa na nia ya kuwalinda vifaru wanaotishiwa kumalika.
Vifaru wanaotishiwa kumalizika kwa kuwindwa na wawindaji harumu ni
vifaru wanaoitwa "vifaru weupe" ambao Kenya inawamiliki wakiwa idadi
ndogo.
Richard Vigne, mkurugenzi katika mbuga ya Ol Pejeta Conservancy alifahamisha kuwa wamasai na utamaduni wao wa kuwinda sasa wamechukuwa uamuzi wa kuokoa wanyama.
Kutoka na tishio la kutoeka kwa vifaru hivyo, wanasayansi wanafanya
utafiti ili kujaribu kuokoa jamii hiyo ya vifaru kwa utaalamu wa kisasa
kama vile kupandikiza mbegu za uzazi.
Licha yakufanya utafiti, wanasayansi hao wamefahamisha kuwa mbegu za vifaru weupe wanopatikana nchini Sudani ni hafif una vigumu kudunga mimba kwa kifaru dike.
Utafiti unaendelea ili kuokoa jamii hiyo ya vifaru.TRT SWAHILI
DKT. MWIGULU AZUNGUMZA NA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA MVUA KILOSA.
-
*Autaja mradi wa ujenzi wa mabwawa ya kuhifadhi maji ya Mvua eneo la Kidete.
WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 amezungumza na wakaz...
Dakika 28 zilizopita
Chapisha Maoni