Zaidi ya watu mia wakiwemo wanawake na watoto wameuawa na wengine wengi wamejeruhiwa katika shambulizi la angani katika mji wa Hawiji kijiji cha Kirkuk kusini mwa Iraq.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwanahabari wa Al Jazeera Nasser Shadid, alisema kuwa mashambulizi hayo yalilenga soko kuu na daraja lililoko mjini.
Kwa taarifa kutoka kwa wananchi wa kijiji hicho, kuwa wanaamini kuwa
shambulio hilo limefanywa na ndege za kijeshi zilizotengenezwa na Urusi
aina ya “Sukhoi.”
CHANZO TRT SWAHILI
TANZANIA YASISITIZA USHIRIKIANO WA UMOJA WA AFRIKA ILI KUPUNGUZA VIFO VYA
MAMA NA MTOTO
-
Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa
Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika
kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya m...
Saa 17 zilizopita
Chapisha Maoni