Zaidi ya watu mia wakiwemo wanawake na watoto wameuawa na wengine wengi wamejeruhiwa katika shambulizi la angani katika mji wa Hawiji kijiji cha Kirkuk kusini mwa Iraq.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwanahabari wa Al Jazeera Nasser Shadid, alisema kuwa mashambulizi hayo yalilenga soko kuu na daraja lililoko mjini.
Kwa taarifa kutoka kwa wananchi wa kijiji hicho, kuwa wanaamini kuwa
shambulio hilo limefanywa na ndege za kijeshi zilizotengenezwa na Urusi
aina ya “Sukhoi.”
CHANZO TRT SWAHILI
TUTUBA: THAMANI YA FEDHA KUBAKI IMARA KUELEKEA KIPINDI CHA MAVUNO
-
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema thamani ya
fedha itaendelea kuwa imara kuelekea kipindi cha mavuno ili kuwawezesha
wakulima...
Dakika 25 zilizopita
Chapisha Maoni