Zaidi ya watu mia wakiwemo wanawake na watoto wameuawa na wengine wengi wamejeruhiwa katika shambulizi la angani katika mji wa Hawiji kijiji cha Kirkuk kusini mwa Iraq.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwanahabari wa Al Jazeera Nasser Shadid, alisema kuwa mashambulizi hayo yalilenga soko kuu na daraja lililoko mjini.
Kwa taarifa kutoka kwa wananchi wa kijiji hicho, kuwa wanaamini kuwa
shambulio hilo limefanywa na ndege za kijeshi zilizotengenezwa na Urusi
aina ya “Sukhoi.”
CHANZO TRT SWAHILI
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 7 zilizopita
Chapisha Maoni