Zaidi ya watu mia wakiwemo wanawake na watoto wameuawa na wengine wengi wamejeruhiwa katika shambulizi la angani katika mji wa Hawiji kijiji cha Kirkuk kusini mwa Iraq.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwanahabari wa Al Jazeera Nasser Shadid, alisema kuwa mashambulizi hayo yalilenga soko kuu na daraja lililoko mjini.
Kwa taarifa kutoka kwa wananchi wa kijiji hicho, kuwa wanaamini kuwa
shambulio hilo limefanywa na ndege za kijeshi zilizotengenezwa na Urusi
aina ya “Sukhoi.”
CHANZO TRT SWAHILI
MWENYEKITI WA CCM MKOA TANGA AINGILIA KATI KUINUSURU KLABU YA AFRICAN
SPORTS ISISHUKE DARAJA
-
Na Oscar Assenga,Tanga
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, Rajab Abdurhaman ameanza jitihada za
kuinusuru Klabu ya African Sports ambayo ipo hatarini...
Dakika 57 zilizopita
Chapisha Maoni