Kituo cha polisi cha Afrika Kusini kimedai kutafuta kibali cha kukamatwa kwa Rais wa Sudan Omar al-Bashir, kama atahudhuria mkutano utakofanyika katika mji wa Santon nchini Afrika kusini.
Mkurugenzi wa shirika lenye makao makuu yake mjini Johannesburg Kaajal Ramjathan-Keogh,
alinukuliwa na vyombo vya habari nchini akisema kuwa alikuwa amepokea
taarifa ya kutafutwa na Mahakama ya kimataifa rais wa Sudani al-Bashir.
Rais al-Bashir, amekuwa rais wa kwanza katika orodha ya marais
wanaotafutwa na mahakama ya kimataifa baada ya kesi kusikilizwa na
kutolewa kibali cha kukamatwa.
Al-Bashir, anashukiwa kwa makosa matano ya uhalifu dhidi ya ubinadamu
(mauaji, kuteketeza kizazi, uhamishaji kwa kutumia nguvu, mateso ya
ubakaji).
Na pia anashukiwa makosa mengine mawili ya uhalifu wa kivita
(mashambulio ya moja kwa moja dhidi ya raia) katika jimbo la Darfur
nchini Sudan.CHANZO TRT SWAHILI
JUBILEE INSURANCE WAZINDUA OFİSİ YAO MPYA FAYKAT TOWER
-
Na Mwandishi Wetu
JUBILEE Insurance (Jubilee Life na Jubilee Health) leo Novemba 17,2025
wamezindua rasmi ofisi yao mpya iliyopo ghorofa ya tatu jengo l...
Saa 14 zilizopita
Chapisha Maoni