Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye
akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma na
kuwaambia kuwa Mkutano Mkuu wa CCM utafanyika leo saa tatu usiku na
zoezi linaloendelea sasa ni upigaji kura za kupata majina matatu
yatakayopelekwa kwenye mkutano mkuu ili kupatikana moja la mgombea wa
Urais kwa kupitia CCM.
Meya Kigamboni awafariji wagonjwa agawa zawadi
-
Na MWANDISHI WETU
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ambaye ni Diwani wa
Kata ya Kibada Mhe. 𝗔𝗺𝗶𝗻𝗶 𝗠𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗦𝗮𝗺𝗯𝗼, amefanya ...
Saa 3 zilizopita

Chapisha Maoni