Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye
akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma na
kuwaambia kuwa Mkutano Mkuu wa CCM utafanyika leo saa tatu usiku na
zoezi linaloendelea sasa ni upigaji kura za kupata majina matatu
yatakayopelekwa kwenye mkutano mkuu ili kupatikana moja la mgombea wa
Urais kwa kupitia CCM.
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
Saa 13 zilizopita

Chapisha Maoni