Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye
akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma na
kuwaambia kuwa Mkutano Mkuu wa CCM utafanyika leo saa tatu usiku na
zoezi linaloendelea sasa ni upigaji kura za kupata majina matatu
yatakayopelekwa kwenye mkutano mkuu ili kupatikana moja la mgombea wa
Urais kwa kupitia CCM.
Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria
-
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya
Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na
watu ...
Saa 2 zilizopita

Chapisha Maoni