Wema
Sepetu achukuwa fomu ya ubunge rasmi hapo jana kugombea nafasi ya
uwakilishi bungeni viti maalum,pichani akiwa na mpambe wake Petiman
Wakuache.
MWENYEKITI WA CCM MKOA TANGA AINGILIA KATI KUINUSURU KLABU YA AFRICAN
SPORTS ISISHUKE DARAJA
-
Na Oscar Assenga,Tanga
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, Rajab Abdurhaman ameanza jitihada za
kuinusuru Klabu ya African Sports ambayo ipo hatarini...
Dakika 56 zilizopita

Chapisha Maoni