Waandamanaji huko Paraguay , wamevamia majengo ya bunge la nchi hiyo na kuliwasha moto.
Wanapinga
hatua ya bunge la senate la nchi hiyo kukutana kwa faragha na
kupitisha mswada wa kufanyia marekebisho kipengee cha katiba ya nchi
hiyo,kitakachomruhusu Rais Horacio Cartes kuwania muhula wa pili
madarakani.
WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
WILAYANI MALINYI
-
Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza
Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa
kuendelea na k...
Dakika 50 zilizopita
Chapisha Maoni