Na TRT Swahili
Maafisa wa polisi nchini Zambia wafahamisha kukamata pembe za ndovu pamoja na wawindaji 8 haramu siku ya Ijumaa .Msemaji
wa wizara ya utalii Sikabilo Kalembe aliambia waandishi wa habari kuwa
pembe hizo zilizkuwa zinapelekwa Ulaya na Asia ambapo biashara yake
huwa juu sana .
Pembe hizo za ndovu zilipatikana magharibi mwa Zambia ambapo wawindaji hao haramu walikuwa wanavukisha kupitia Namibia .Kwa mujibu wa Kalembe wawindaji haramu wanachukua fursa ya uwa hamna ulinzi imara katika mpaka wa Zambia .
TANESCO MKOA WA DODOMA WAAHIDI WANANCHI WAKE UPATIKANAJI WA UMEME WA UHAKIKA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Meneje wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania wa Mkoa Dodoma Mhandisi
Donasiano J Shamba amesema kuwa seriakli ilitoa f...
Saa 6 zilizopita
Chapisha Maoni