0
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akitia saini wakati wa kukamilisha taratibu za kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ,Mtama mkoani Lindi.


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akionyesha kadi yake mpya ya kupiga kura mara baada ya kumaliza kujiandikisha kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura Majengo B, Mtama mkoani Lindi. Picha na Adam Mzee

Chapisha Maoni

 
Top